DAVIDO KUJIZAWADIA GARI YA KISASA SIKU YA KUZALIWA KWAKE
Msanii wa muziki kutoka Nigeria, Davido anazidi kuonyesha uwezo wake wa kuchop money kadri siku zinavyoenda… zimebaki wiki kama mbili kufikia tarehe 21 Novembeer 2015, siku ya kuzaliwa kwa Mkurugenzi wa HKN Music, David Adeleke.
Tarehe 21 November 2015, Davido atakuwa anatimiza miaka 23, na staa huyo wa muziki kutoka Nigeria ameamua kujizawadia mapema ikiwa ni sehemu ndogo ya maandalizi kuelekea siku yake kubwa.
Mkurugenzi huyo wa HKN Music kaamua kujizawadia toleo jipya la gari, Audi R8 ambalo kwa mujibu wa jarida la Car Magazine, Audi R8 ni miongoni ya magari ya kisasa zaidi yani ‘2015 supercar’ kwa mwaka 2015… kupitia page yake ya Instagram, Davido alipost picha ya gari hilo na caption iiyosema…


big up bro
ReplyDelete